Sunday, November 25, 2012

MARAIS WA AFRIKA MASHARIKI WAIJADILI DRC


Mkimbizi wa Goma akiingia kambi ya Umoja wa Mataifa nje ya Goma
Wapiganaji mashariki mwa Congo walisonga mbele zaidi ndani ya ardhi iliyokuwa ikidhibitiwa na jeshi la serikali siku ya Alkhamisi.